https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MARA BAADA YA KUTOLEWA BENCHINI KWA KADI NYEKUNDU MOYES AAMUA KUGONGA VITAFUNWA NA MASHABIKI JUKWAANI.

    Moyes pinches snacks from fans after being sent off for Sociedad

    Wakati mambo yakionekana kana kwamba yameanza kumnyookea, kocha mpya wa klabu ya Real Sociedad, Mscotish David Moyes baada ya kupata ushindi mbele ya klabu ya Fc Barcelona sasa mambo yanaonekana kugeuka na kurejea kulekule kwenye ugumu. 

    Meneja huyo wa zamani wa klabu ya Manchester United alitolewa kwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa timu yake ya Real Sociedad dhidi ya nyambizi wa Villarreal kwenye mchezo wa raundi ya pili ya michuano ya Copa Del Rey usiku wa jana.

    Moyes hakuonekana kujali kadi hiyo kwani mara baada ya kutoka benchini na kwenda kukaa jukwaani aliamua kuanza kugonga vitafunwa vilivyokua vikiliwa na mashabiki waliokuwa wamekaa uwanjani hapo huku akionesha tabasamu zito kwa mashabiki hao.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MARA BAADA YA KUTOLEWA BENCHINI KWA KADI NYEKUNDU MOYES AAMUA KUGONGA VITAFUNWA NA MASHABIKI JUKWAANI. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top