Uzinduzi huo umefanyika leo katika Ukumbi wa Hyatt Regency, Posta jijini Dar ambapo simu za Lumia 435 na Lumia 532 zilizinduliwa ambazo zinauzwa kati ya shilingi 200,000 hadi 240,000.
Uzinduzi huo ulihudhuriwa na wanahabari pamoja na wadau wa makampuni mbalimbali ya simu za mikononi.
PICHA/HABARI: DENIS MTIMA/GPL

