
Chanzo cha ajali hiyo ni gari kubwa aina ya semitrela lilikuwa
limekata trela lake katikati ya bara bara kuu inayoelekea Dodoma Inn, Na
basi hilo inasemekana lilikuwa spidi sana na bila kujua kuwa katikati
kulikuwa na trela hilo na katika jitahada za kujaribu kulikwepa
liliingia kwenye mtaro na kugonga mti ambao..Inasemekana hakuna
aliyepoteza maisha ila majeuhi ni wengi na wamekimbizwa katika hospitali
ya Genera


