Home > Untagged Yanga yaonyesha soka safi Taifa leo,yaitungua Fc Platinum ya Zimbabwe bao 5-1 Yanga yaonyesha soka safi Taifa leo,yaitungua Fc Platinum ya Zimbabwe bao 5-1 Timu ya Yanga leo imeichapa Bad 5-1 timu ya Fc Platinum ya nchini Zimbabwe katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la shirikisho,katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam 19:37:00