| Baadhi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii na baadhi ya wafanyakazi wa tigo wakiwa katika picha ya Pamoja |
| Msanii wa bongo fleva Fid q akijadili jambo na MC wa hafla hii ya kuzindua intaneti ya kasi kwa teknolojia ya 4g lte |
| washereheshaji wa hafla hii ya kuzindua intaneti ya kasi zaidi nchini toka tigo hapa mliman city |
| wafanyakazi toka kampuni ya huawei wakipozi katika uzinduzi wa intaneti ya kasi zaidi nchini kwa teknolojia mpya ya 4G lte toka Tigo pekee |
| Baadhi ya wafanyakazi wa tigo na wageni waaalikwa wakishuhudia uzinduzi wa intaneti ya kasi zaidi nchini kwa kutumia teknolojia mpya ya 4G LTE toka tigo pekee |

