Baadhi ya viongozi pamoja na watumishi wengine walioshiriki mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidss Gama akizungumza katika mkutano huo. |
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rombo,Anthony Tesha akitoa taarifa juu ya kiwanja kilichotolewa kwa waweezaji na halmashauri hiyo kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha saruji. |
Mkurugenzi wa Halamshauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akitoa ufafanuz juu ya mgogoro wa kiwanja kinachomilikiwa naaliyekuwa mbunge wa jimbo la Vunjo ,Aloyce Kimaro. |
Baadhi ya Madiwani wa Halamshauri ya manispaa ya Moshi wakiongozwa na Naibu Meya ,Dkt Mbando,PeterKimaro pamoja na Raymond Mboya. |
Mkuu wa wilaya ya Siha,Dk Charles Mlingwa (kushoto) akiwa na mkuu wa wilaya ya Mwanga Shahibu Ndemanga (katikati) pamoja na Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,Koka Moita wakiwa katika mkutano huo. |
Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Kilimanjaro wakifuatilia mkutano huo.
|