MAGARI mawili jana yalipata ajali katika Wilaya ya Bagamoyo, Pwani ikiwa ni gari aina ya Scania T 986 ASG lililoanguka eneo la Msata na gari la aina ya Fuso T 945 BHZ lilioloanguka maeneo ya makutano ya barabara ya Kiwangwa na Bagamoyo baada ya kufeli kukata kona likiwa limebeba kreti za bia.
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment