https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    BREAKING NEWS: DIAMOND PLATNUMZ ATWAA TUZO YA MSANII BORA ZAIDI AFRIKA


    Kushoto ni tuzo aliyochukua Diamond Platnumz.
    MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uganda Entertainment. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Diamond amewashukuru mashabiki wake waliompigia kura na kufanikiwa kutwaa tuzo hiyo pamoja na kuwaomba waendelee kumpigia kura katika vipengele vingine ambavyo anawania tuzo mbalimbali.

    Diamond Platnumz.
    Alichokiandika Diamond baada ya ushindi huo:
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BREAKING NEWS: DIAMOND PLATNUMZ ATWAA TUZO YA MSANII BORA ZAIDI AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top