https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    WATU 10 WAUWAWA KWA KUSHAMBULIWA KWA RISASI KATIKA CHUO MAREKANI

    Watu kumi wameuwawa na wengine saba kujeruhiwa katika tukio la mashambulizi ya risasi kwenye chuo katika jimbo la Oregon nchini Marekani.

    Polisi wamesema mtu mwenye silaha Chris Harper-Mercer mwenye umri wa miaka 26, alifyatua risasi katika Chuo cha Jamii cha Umpqua hapo jana asubuhi, ambapo naye aliuwawa kwa risasi na polisi.

    Kumekuwa na taarifa zinazokanganya kuhisiana na idadi ya waliokufa katika tukio hilo hata hivyo Mkuu wa polisi kaunti ya Dougla, John Hanlin amesema watu 10 wamekufa akiwemo mtuhumiwa.
                              Mmoja wa mtu aliyepigwa risasi akiondolewa katika eneo hilo
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WATU 10 WAUWAWA KWA KUSHAMBULIWA KWA RISASI KATIKA CHUO MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top