Tulizoea kumsikia mkali wa Golf Tiger Woods ambaye amewahi kushinda mataji kadhaa makubwa ya mchezo huo duniani kuwa ndio mchezaji wa mchezo huo anayaeongoza kwa utajiri duninia. Kwa list mpya ya mastaa wa Golf matajiri kwa mwaka 2015, Tiger Woods amekuwa mtu wa tatu akizidiwa na Phil Mickelson anayeshika nafasi ya pili na namba moja ikishikwa na Jordan Spieth.

Nimekutana na pichaz za nyumba mpya ya tajiri namba moja wa mchezo wa Golf dunianiJordan Spieth, nyumba hii ipo Dallas Marekani imenunuliwa kwa dola milioni 8.4 ambazo ni zaidi ya bilioni 17 za Kitanzania. Cheki pichaz mtu wangu za mjengo wenyewe una uwanja wa Basketball pia.

Jordan Spieth akiwa na mchezaji mwenzake kulia Rickie Fowler





List ya wachezaji Golf matajiri kwa mwaka 2015
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kuto


0 comments:
Post a Comment