https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    BASI SUPER SAMI LAANGUKA WILAYANI IGUNGA MKOA WA TABORA.


    Ajali imetokea Wilayani Igunga ikihusisha basi la Super Sami lililokulikitokea Mwanza kwenda jijini Dar es Salaam.
    Chanzo cha ajali hiyo ni Dereva alipokuwa akitaka kukwepa Ng'ombe na  gari likamshinda na kuanguka na kusabaisha ajali hiyo.
    Watu wakielekea kwenye gari lililopata ajali leo Wilayani Igunga.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BASI SUPER SAMI LAANGUKA WILAYANI IGUNGA MKOA WA TABORA. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top