Usiku wa kuamkia May 11, 2016, kuna taarifa ya kusikitisha kutokea Sengerema Mwanza, ni tukio la mauji ya kukatwakatwa mapanga familia ya watu saba kwenye familia moja wawili wakiwa wafanyakazi wa hiyo familia, ripoti iliyonifikia leo miili ya watuwatano wafamilia moja wamezikiwa kijiji cha Sima Sengerema na wawili wamesafirishwa kwenda Ngara Mkoa wa Kagera.
Askofu Mussa Magwesela.
Hili ndio eneo la Makaburi ya Miili ya Marehemu watano.
Zainabu Telack, Mkuu wa Wilaya Sengerema.
Mtoto wa Marehemu, Kwitega Daniel.
Mwakilishi wa Mgodi wa Geita Gold Mine.


0 comments:
Post a Comment