https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MKUU WA MKOA WA MBEYA MH MAKALA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA WAZAZI YA META

     Mkuu wa Mkoa wa Mbeya afanya ziara ya kushitukiza hospitali ya wazazi ya Meta iliyo chini ya hospitali rufaa kanda 
    Amekuta Kero ya msongamano ya wagonjwa na lugha chafu ya baadhi ya way hizi kwa wagonjwa
    Ametoa siku 7 kwa uongozi wa hospitali hiyo kumchukulia hatua Kali muuguzi aliyemtolea lugha chafu bi Salome swaya aliyejifungua tarehe. Katika kushughulikia hilo amemtaka mkurugenzi wa hospitali hiyo, matron, patron na mjumbe mmoja toka ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Mbeya kulichunguza tuhuma hizo ili kupata upande wa pili kwasababu muuguzi aliyetuhumiwa leo hakuwepo 
    Amewaomba wauguzi na madaktari kuzingatia maadili ya kazi katika kutekeleza majukumu yao

    Kuhusu ujenzi wa wodi ya wazazi Mkuu wa Mkoa anafuatilia wizara ya Afya dhamana ya mkopo toka hazina kwa ajili ya kupata Fedha ambazo hospitali ilishaomba kinachosubiriwa ni dhamana
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MKUU WA MKOA WA MBEYA MH MAKALA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA WAZAZI YA META Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top