https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    TUNISIA YAKUTANA NA CHECHE ZA CAPE VERDE AFCON LEO

    Heldon-130127-Celebrates-BPP720
    TUNISIA wanaanza kampeini zao leo za kusaka ubingwa wa kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon 2015 kwa kukabiliana na Cape Verde katika mechi ya kundi B itayopigwa uwanja wa Nuevo Estadio majira ya 4:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki.
    Wakati miamba hiyo ya soka kaskazini mwa Afrika ikiingia uwanjani kama moja y
    a timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa kufuatia kampeini nzuri wakati wa mechi za kufuzu, Cape Verde wanaingia uwanjani kama wachanga kabisa.
    Hata hivyo Cape Verde ‘Blue Sharks’ ambao wanashiriki kwa mara ya pili Afcon (walishiriki kwa mara ya kwanza 2013 nchini Afrika kusini na kuonesha kiwango cha juu), wamekuwa miongoni mwa nchi zilizoendelea kwa kiwango cha juu kisoka duniani miaka miwili au mitatu iliyopita.
    Mechi ya mapema itayoanza majira ya saa 1:00 usiku inawakutanisha Zambia dhidi ya DR Congo.

    MATOKEO YA MECHI ZA JANA KUNDI A

    MECHI MATOKEO
    Guinea ya Ikweta v Congo Brazaville 1 : 1
    Burkina Faso v Gabon 0 : 2

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TUNISIA YAKUTANA NA CHECHE ZA CAPE VERDE AFCON LEO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top