https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Jengo la kifahari la Mike Tyson sasa kugeuzwa kanisa

    tyson6 
    Miaka ya tisini bondia wa ngumi za uzito wa juu duniani Mike Tyson alikuwa akimiki Jumba la kifahari katika eneo la Southington, Ohio nchini Marekani.
    Muonekano wa jumba hilo pamoja na kujengwa na kunakshiwa kifahari na
    kutumia fedha nyingi,kwa sasa limekuwa likionekana kama gofu.
    Tyson alilazimika kuliuza jumba hilo mwaka 1999 kwa kitita cha pauni milioni 1.3 baada ya kukumbwa na kashfa ya ubakaji na sasa litabadilishwa na kuwa kanisa.
    tyson
    tyson2
    tyson3
    tyson4
    tyson5
    tyson6
    tyson7
    tyson8
    tyson9
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Jengo la kifahari la Mike Tyson sasa kugeuzwa kanisa Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top