Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuwafariji waathirika wa
Mvua ya Mawe,iliyonyesha hivi karibuni katika Kijiji cha
Mwakata,Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuwafariji waathirika wa
Mvua ya Mawe,iliyonyesha hivi karibuni katika Kijiji cha
Mwakata,Wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.
Maelefu ya Wakazi wa Kahama wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete
wakati alipokuwa akiwahutubia mara baada ya kutembelea na kujionea
athari ya Mvua ya Mawe kwa wananchi wa Kijiji cha Mwakata,Wilayani
Kahama Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.

