https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    WANANCHI WAONYESHA MWITIKO MKUBWA WA ACCESSBANK WAKALA


     Mr Muganyizi akiwa na Mkurugenzi wa AccessBank mkoa wa mbeya  aliye mtembelea   leo ofisini kwake ndugu Emanuel Venance 


     Siku zote ukitembelea ofisi za Marketing huwezi toka kapa lazima upate zawadi mbili tatu pichani ni Joshua Mutunga akiwa amezawadiwa zawadi safi kabisa akiwa na Mr Andrea Ottinna katika tabasamu la aina yake. .
    Afisa mkuu wa masoko Mr muganyizi akifurahia jambo na Mr Elibariki Robert  wakiwa katika mohojiano leo ofisini na Blogu Ya Wananchi .

    Alisema tangu AccessBank ilipoanzisha mfumo wa utoaji wa huduma za kibenki kupitia mawakala mitaani ,wateja wamekuwa wakimiminika kwa wingi kwa mawakala walio teuliwa nawamekuwa wakifurahia huduma zitolewazo ambazo wateja hao wameipongeza benki kwa kusogeza huduma zake karibu nao.

    Nae bwana Muganyizi amewaasa wananchi kujitokeza na kutembelea mawakala hao kwa ajili ya kufungua akaunti na kuweka na kutoa hela pamoja na kufanya miamala hata baada ya muda sa kawaida na matawi ya banki.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: WANANCHI WAONYESHA MWITIKO MKUBWA WA ACCESSBANK WAKALA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top