BOSS
Lady wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amesababisha
timbwili la aina yake hivi karibuni, akidaiwa kuwa kwenye harakati za
kutaka kukaa karibu na staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa
Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’, Risasi Mchanganyiko limesheheni
mchapo kamili soma ziadi hapa