Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana (wa pili kulia)akishiriki ujenzi wa tanki la
maji katika Kijiji cha Sakala, wilayani Ngorongoro.Ndugu Kinana na
ujumbe wake wako kati wa ziara ya
siku tisa mkoani Arusha ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata
Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na
kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi
Kinana akisaidiana na Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro, Telele kujenga
vyumba vya madarasa ya kidato cha nne na cha tano katika Shule ya
Sekondari Samunge, wilayani Ngorongoro.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM
kijiji cha Wasso Ndugu Revocatus William Parapara. Awali ndugu
Revocatus William Parapara alikuwa Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya
Ngorongoro kwa takribani miaka 15.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa ngoma ya kabila la Watemi
(Wasonjo) alipowasili katika Kijiji cha Samunge, wilayani Ngorongoro,
aliposhiriki ujenzi ujenzi wa vyumba vya madarasa ya kidato cha nne na
cha tano katika Shule ya Sekondari ya Samunge wakati wa ziara ya
kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata
Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na
kuzitafutia ufumbuzi.
Wajumbe
wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Ngorongoro wakiwa katika
mkutano na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana mjini Loliondo
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizungumza katika mkutano huo.
Komredi Kinana akiingia kwenye mkutano wa hadhara katika Mji wa Waso, wilayani humo Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa hadhara Komredi Kinana akipatiwa zawadi ya fimbo
Kinana akihutubia katika mkutano huo. Komredi Kinana akiangalia ngoma wakati wa mapokezi katika mkutano wa hadhara mjini Wasso, wilayani Ngorongoro. Vijana wa jamii ya kimasai wakitumia simu kupiga picha wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akihutubia katika KJijiji cha Ngaresero, wilayani Ngorongoro.
Komredi Kinana akivishwa pambo lenye shanga katika Kijiji cha Ngaresero
Mmoja wa wanachama wapya wa CCM akipatiwa kadi na Komredi Kinana baada ya kujiunga katika Kijiji cha Ngaresero, wilayani Ngorongoro.
Komredi Kinana akiingia kwenye mkutano wa hadhara katika Mji wa Waso, wilayani humo Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa hadhara Komredi Kinana akipatiwa zawadi ya fimbo
Kinana akihutubia katika mkutano huo. Komredi Kinana akiangalia ngoma wakati wa mapokezi katika mkutano wa hadhara mjini Wasso, wilayani Ngorongoro. Vijana wa jamii ya kimasai wakitumia simu kupiga picha wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akihutubia katika KJijiji cha Ngaresero, wilayani Ngorongoro.
Komredi Kinana akivishwa pambo lenye shanga katika Kijiji cha Ngaresero
Mmoja wa wanachama wapya wa CCM akipatiwa kadi na Komredi Kinana baada ya kujiunga katika Kijiji cha Ngaresero, wilayani Ngorongoro.

