Idadi ya
watu ambao wamethibitishwa kuaga dunia wakati wa tetemeko hilo
lililotokea siku ya jumamosi iliyopita imeongezea na kufikia zaidi ya
watu 5000.
Serikali
ya nchi hiyo imesema zaidi ya watu 10,000 walijeruhiwa na kuongeza
kuwa imelemewa na kiwango cha janga hilo hivyo inahitaji msaada kutoka
Mataifa mengine.
Waziri huyo amesema kuwa kuna mahitaji ya dharura yanayohitajika yakiwa ya mahema , chakula pamoja na maji.

