
Spika
akiwa katika ziara ya maeneo kadhaa ya kiteknolojia katika kampuni ya
Huawei.Spika yuko nchini China kwa ziara ya namba ya kulifanya Bunge la
Tanzania kuendeshwa kiteknolojia zaidi
Mtaalam
wa kampuni ya Huawei akitoa maelezo ya masuluhisho kadhaa ya Bunge
Mtandao (e-parliament solutions) kwa Mhe Spika na ujumbe wake.
Mhe
Spika Anne Makinda akizungumza na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Huawei,
Li Dafeng kuhusu mambo kadhaa ya kiteknolojia ya Kibunge ambayo
hufanywa na kampuni hiyo duniani.
Spika
akimkabidhi Makamu wa Rais wa kampuni ya Huawei,Li Dafeng zawadi ya
picha ya kuchora ya jengo la Bunge. Picha zote na Saidi Yakubu wa Ofisi
ya Bunge.




