https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MAPOKEZI YA RAIS NYUSI WA MSUMBIJI

    Msanii wa kikundi cha ngoma ya Mganda akitumbuiza wakati wa mapokezi ya Rais wa Msumbiji Mhe Filipe Nyusi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
     Ngoma ya mganda
     Sindimba
    Kinamama wa kikundi cha Mount Usambara hawako nyuma
    Rais Kikwete akisogea sehemu ya kumpokea mgeni
     Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akisalimiana na balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe Shamim Nyanduga. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Mhe Hawa Ghasia
    Rais Kikwete akiongea na Flower girl Elizabeth Jackson aliye tayari kumkabidhi mgeni shada
    Rais Nyuzi akitelemka katika ndege baada ya kuwasili
    "....Karibu nyumbani..." anasema Rais Kikwete anapomlaki Rais Nyusi
     Wanakumbatiana kwa furaha
     Rais Nyusi anapokea shada la maua kutoka kwa mtoto Elizabeth
     Rais Nyusi anamshukuru Elizabeth kwa maua
     Rais Nyusi akitambulishwa kwa balozi Shamim Nyanduga
     Rais Nyusi akitambulishwa kwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Saidi Mwambungu
    Rais Nyusi akitambulishwa kwa wasaidizi wa Rais

    Rais Kikwete na Mgeni wake wanasimama jukwaa maalumu wakati wa nyimbo za Taifa zikipigwa
    Askari hodari wakipiga mizinga 21 kwa mbali kule
    Rais Nyusi anakaribishwa kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa heshima yake
    Rais Nyusi anakagua gwaride
    Rais Nyusi anaendelea kukagua gwaride
    Rais Kikwete anatambulishwa wa ujumbe alioongozana nao Rais Nyusi
     Rais Nyusi anafurahia ngoma
    Rais Nyusi anawasili hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro na kulakiwa na meneja mkuu wake
     Rais Kikwete akitambulishwa kwa maafisa waliooongozana na Rais Nyusi
     Mamia ya wananchi wakimsubiri mgeni Ikulu
    Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
      Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
      Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
      Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
     Zuria jekundu na wananchi vikimsubiri mgeni
     Rais Nyusi alakiwa kwa nderemo
      Rais Nyusi akilakiwa kwa shangwe
     Rais Kikwete akipeana mkono na mgeni wake baada ya mapokezi makubwa
    Sehemu ya wanahabari wa Tanzania na Msumbiji wakiwa kazini
    Rais Kikwete katika mazungumzo rasmi na mgeni wake
    Rais Nyusi akimkabidhi mwenyeji wake zawadi
     Rais Kikwete akimkabidhi mgeni zawadi yake
     Rais Kikwete na mgeni wake wakiongea kabla ya dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
     Rais Kikwete na mgeni wake na mawaziri wa nchi zao wakiongea kabla ya dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
      Rais Kikwete na mgeni wake katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
      Rais Kikwete akihutubia wakati wa dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais Nyusi
     Rais Kikwete agonganishwa glasi na mgeni wake wakati wa dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais Nyusi
     Rais Nyusi akitoa hotuba yake
     Sehemu ya mawaziri na mabalozi
    Sehemu ya viongozi mbalimbali
     Mabalozi wa nchi mbalimbali walioalikwa
    Mabalozi
     Mawaziri na mabalozi
    Rais Kikwete akigonganisha glasi na mgeni wake
    Mawaziri wakigonganisha glasi
     Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na waalikwa wengine
     Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda (kushoto), Mbunge wa Singida Mhe. Mo Dewji, Mwenyekiti wa Yanga Bw. Yusuf Manji na Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Bw. Godfrey Simbeye
    Baadhi ya maafisa wa protokali wa Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa. Picha zote na IKULU
    You might also like:
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAPOKEZI YA RAIS NYUSI WA MSUMBIJI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top