https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Hizi ni picha kali 14 ambazo Camera yetu ilinasa jana wakati wa ugawaji wa tuzo za VPL

    Viongozi wa klabu ya Yanga wakikabidhiwa mfano wa hundi ya zawadi ya bingwa wa ligi iliyomalizika yenye thamani ya shilingi miolioni 80 za Tanzania
    Viongozi wa klabu ya Yanga wakikabidhiwa mfano wa hundi ya zawadi ya bingwa wa ligi iliyomalizika yenye thamani ya shilingi miolioni 80 za Tanzania
    Baba yake Simon Msuva (mzee Msuva) akiwa ameinua juu tuzo ya mfungaji bora wa ligi iliyokwenda kwa Simon Msuva, (kulia kwake) ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia na (kushoto kwake) ni mama yake Simon Msuva
    Baba yake Simon Msuva (mzee Msuva) akiwa ameinua juu tuzo ya mfungaji bora wa ligi iliyokwenda kwa Simon Msuva, (kulia kwake) ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia na (kushoto kwake) ni mama yake Simon Msuva
    Wazazi wa Simon Msuva wakiwa wameshika tuzo ya mtoto wao mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo na Mh. Juma Nkamia aliyekuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo
    Wazazi wa Simon Msuva wakiwa wameshika tuzo ya mtoto wao mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo na Mh. Juma Nkamia aliyekuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo
    Shabani Kado akipokea tuzo yake ya golikipa bora wa msimu uliomalizika
    Shabani Kado akipokea tuzo yake ya golikipa bora wa msimu uliomalizika
    Mh. Juma Nkamia (kulia) akiteta jambo na Rais wa TFF Jamal Malinzi
    Mh. Juma Nkamia (kulia) akiteta jambo na Rais wa TFF Jamal Malinzi
    Mwakilishi toka Mtibwa Sugar akipokea tuzo ya timu yenye nidhamu
    Mwakilishi toka Mtibwa Sugar akipokea tuzo ya timu yenye nidhamu
    Mbeya City nao walipata zawadi ya mshindi wa nne
    Mbeya City nao walipata zawadi ya mshindi wa nne
    Katibu mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha (kulia) naye alikuwepo
    Katibu mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha (kulia) naye alikuwepo
    Mh. Juma Nkamia akitoa hotuba
    Mh. Juma Nkamia akitoa hotuba
    Rais wa TFF Jamal Malinzi (kulia) akiwa pamoja na baba yake Simon Msuva
    Rais wa TFF Jamal Malinzi (kulia) akiwa pamoja na baba yake Simon Msuva
    Mke wa Juma Nkamia ambaye ni Naibu Waziri wa Habari, Viajana, Utamaduni na Michezo naye alikuwepo kwenye ugawaji wa tuzo (kushoto) ni mtoto wa Naibu Waziri
    Mke wa Juma Nkamia ambaye ni Naibu Waziri wa Habari, Viajana, Utamaduni na Michezo naye alikuwepo kwenye ugawaji wa tuzo (katikati) ni mtoto wa Naibu Waziri
    Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm jana alimwagwa kwenye kinyang'anyiro cha kocha bora wa ligi msimu uliopita na tuzo hiyo kwenda kwa Mbwana Makata
    Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm jana alimwagwa kwenye kinyang’anyiro cha kocha bora wa ligi msimu uliopita na tuzo hiyo kwenda kwa Mbwana Makata
    Mohamed Hussein 'Tshabalala' alikuwa ni mmoja kati ya waliokuwa wakiwania tuzo ya mchezaji bora
    Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ (kushoto) alikuwa ni mmoja kati ya waliokuwa wakiwania tuzo ya mchezaji bora
    Hizi ndio tuzo zilizokuwa zinagombewa kabla hazijaanza kukabidhiwa kwa wahusika
    Hizi ndio tuzo zilizokuwa zinagombewa kabla hazijaanza kukabidhiwa kwa wahusika
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Hizi ni picha kali 14 ambazo Camera yetu ilinasa jana wakati wa ugawaji wa tuzo za VPL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top