Je wamjua mgombea wa CCM aliyetaka kurudishiwa pesa zake baada ya jina lake kukatwa
Aliyekuwa mmoja wa watia nia wa nafasi ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM Dk. Kalokola ametishia kukipeleka chama hicho mahakamani kama hawatamrudishi milioni 1 yake ambayo aliitumia kuchukua fomu.
0 comments:
Post a Comment