Mchezaji nyota wa FC Barcelona
Lionel Messi, ameshindwa kutwaa taji kwa mara nyingine kwenye fainali
yake ya pili akiwa na Argentina baada ya mwaka jana (2014) kulikosa
kombe la dunia mbele ya Ujerumani kwenye fainali za kombe hilo
ilizofanyika nchini Brazil.
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment