https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    HAYA NI MANENO ALIYOYASEMA MARIO BALOTELLI ALIVYOJIUNGA TENA NA AC MILAN

    2BA4B25800000578-3209049-image-a-1_1440496287259
    Mario Balotelli alipigewa picha akiwa kwenye gari lake kabla ya kuingia hospitali kufanya vipimo vya afya na kujiunga rasmi na AC Milan.
    Mario Balotelli amejiunga na AC Milan akitokea Liverpool kwa mkopo wa muda mrefu na baada ya kujiunga alisema maneno haya, “Nina furaha nimerejea hapa, nina kidogo tu cha kusema. Binafsi ninategemea kufanya mazoezi ya ziada na kuonyesha thamani yangu. Nipo vizuri kimwili ninachotakiwa ni kufanya mazoezi na timu. Nina vitu vingi vina nipa hali ya kucheza lakini ninachotakiwa ni kucheza soka na sio kuongea.”
    Balotelli alifunga magori 26 kwenye mechi 43 akiwa Milan kabla ya kuhama club hiyo.
    2BA42FE500000578-3209049-image-a-14_1440489938281

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HAYA NI MANENO ALIYOYASEMA MARIO BALOTELLI ALIVYOJIUNGA TENA NA AC MILAN Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top