Picha ambazo zimekuwa zikizunguuka katika vyombo vya habari mbalimbali Uturukizikimuonesha kiungo wa kimataifa wa Ujerumani anayeichezea klabu ya Arsenal yaUingereza Mesut Ozil ameonekana akiwa na miss Uturuki kitu ambacho kinazua maswali mengi huenda wanamahusiano ya Kimapenzi.
Taarifa hizo zinakuja ikiwa masaa kadhaa yamepita toka beki wa zamani wa klabu yaManchester United Gary Neville ahoji kuhusu mchango wa kiungo huyo katika klabu yaArsenal ya Uingereza kabla ya mechi ya Liverpool dhidi ya Arsenal ambayo ilimalizika kwa 0-0.


0 comments:
Post a Comment