https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    KANSELA ANGELA MERKEL WA UJERUMANI AKOSOA VIKALI GHASIA


    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amekosoa vikali ghasia katika makazi ya waomba hifadhi zilizojeruhi maafisa polisi kadhaa.

    Bi. Merkel ameielezea tabia hiyo ya ghasia iliyofanywa na baadhi ya wahamiaji katika mji wa mashariki wa Heidenau ni ya kuchukiza na ya aibu.

    Ulinzi umeimarishwa katika kituo kipya cha wahamiaji waomba hifadhi karibu na Dresden baada ya siku mbili za maandamano.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KANSELA ANGELA MERKEL WA UJERUMANI AKOSOA VIKALI GHASIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top