https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    BREAKING NWZZ: MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO CHADEMA AFARIKI DUNIA,KWA AJALI YA GARI

    Mgombea ubunge wa jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamedi Mtoi Kanyawana wa UKAWA kupitia CHADEMA, amefariki dunia jioni hii baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata ajali wakiwa wanatoka kwenye kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea.
    Mpaka mauti yanamkuta Mohamed Mtoi, alikuwa ni afisa Mwandamizi Idara ya Uratibu wa Kanda makao makuu ya CHADEMA.
    MTANDAO  HUU  UTAWALETEA  HABARI  ZAIDI  KESHO
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BREAKING NWZZ: MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO CHADEMA AFARIKI DUNIA,KWA AJALI YA GARI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top