https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    HILI NDILO GEREZA HATARI ZAIDI DUNIANI KWA SASA!,SHUHUDIA HAPA PICHA 5


    Majambazi wa nchini El Salvador wakihamishwa kutoka gereza la Izalco kwenda gereza la San Francisco Gotera
    Uongozi nchini El Salvador wamehamisha wafungwa kutoka kwenye magenge mawili na kuwaingiza kwenye gereza moja kwa mara ya kwanza, ili kuwazuia wasifanye shughuli wakiwa gerezani.

    Hawa ni majambazi wa genge la Barrio 18
    Picha za ajabu inaonyesha wamefungwa pingu kutoka kwenye genge maarufu Barrio 18 wakiongozwa kuingia kwenye basi kutoka kwenye gereza la Izalco kwenda San Francisco Gotera katika jitihada za kupambana na uhalifu.



    Wakiwa wamefungwa pingu kwa namna yake
    Wanachama 1,177 wa genge la Barrio 18 walihamishwa.

    Majambazi hao walichanganywa na mahasimu wao
    Na hawatawekwa pamoja kutokana na magenge yao, bali kwa uhatari wao.

    Majambazi hawa wanahusika na mauaji ya polisi 20, wanajeshi wawili, askari magereza sita na mwendesha mashtaka
    Sera ya kuchanganya magenge pamoja ilikuja wakati maafisa walipogundua kuwa magenge yalikuwa yakielekeza shughuli za uhalifu kutokea gerezani.

    Majambazi hawa wamekuwa wakiendesha uhalifu ilhali wapo gerezani

    Januari, uongozi wa serikali ya El Salvador waliagiza polisi kuwapiga risasi majambazi hawa bila woga wowote

    Majambazi wa Berrio 18 wakishuka kwenye basi

    Jambazi akiwa amepozi katika gereza la Izalco mwaka 2013

    Mfungwa wa genge la Mara 18 akiwa amepozi gereza la Izalco Mei 20, 2013

    Mfuasi wa genge la Mara Salvatrucha akiwa nchini Honduras 2006

    Kiongozi wa zamani wa Mara Salvatrucha akiwa Honduras 2008
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HILI NDILO GEREZA HATARI ZAIDI DUNIANI KWA SASA!,SHUHUDIA HAPA PICHA 5 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top