https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    SAIDIO MANE ACHARUKA NA KUITIBULIA LIVERPOOL MAHESABU


    Matumaini ya timu ya Liverpool kutinga katika nafasi tano za juu za msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza yaliingia dosari baada ya Southampton kubadilika ghafla na kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 katika dimba la St Mary's.

    Liverpool walionekana kuumudu vyema mchezo huo baada ya Philippe Coutinho na Daniel Sturridge kupachika mabao yakifuatana kwa tofauti ya dakika tano na kuifanya iongoze kwa mabao 2-0.


    Lakini Sadio Mane licha ya kukosa penati alijirekebisha na kufunga bao katika dakika ya 64, kabla ya Graziano Pelle kufunga la pili dakika ya 83 na kisha Mane kuandika bao la tatu katika dakika ya 86.
           Golikipa wa Liverpool akiipangua penati iliyopigwa kiuchovu na Sadio Mane
       Sadio Mane akipiga mpira wa kuzungusha uliompita kipa wa Liverpool na kujaa wavuni
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: SAIDIO MANE ACHARUKA NA KUITIBULIA LIVERPOOL MAHESABU Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top