Karbu
nikujuze stori zilizo tokea instagram, siku chache mshindi wa Big
Brother Idriss Sultan aliweka picha mtandaoni katika ukurasa wake wa
intagram akiwa na mrembo mwanamitindo Deliahipupa ikionekana kutoa
sapoti kwenye Kenya Blog Award Nakuandika hivii "
As
i am forced to say with a gun on my head Please go to @buoart link on
his bio and vote for him as best photography blog ππ½ππ½ππ cc:
@deliahipupa"
Lakini
maneno ya picha hayankuwa na tatizo bali picha hii kama ilimpa Wema
Sepetu Wivu Hakuipenda Nakuomba mtu atakayeweza kumtoa mwanadada huyo
amwache idris peke yake alafu amtumie picha hiyo.
Wema Sepetu alijaribu ku Crop picha hiyo nakumwacha Idris Pekee lakini mwanadada Deliahipu alionekana vazi lake kwa mbali
Done juhudi za Mrembo wema sepetu zilifanikiwa na aliandika hivii "So Hubby decided to edit it for me mwenyeweπ... My Man....!! πGnyt now...!πππ" katika picha iliyoko hapo chini
Unazani Wema Sepetu ana wivu sanaa na Idris karibu tuachie maoni yako hapo chini kwa Comment







0 comments:
Post a Comment