https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    AUDIO: Alichosema Ole-Sendeka kwenye mazishi ya Kabwe na kuhusu kusimamishwa kwake kazi

    Christopher Ole-Sendeka ambaye ni msemaji mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) alikua miongoni mwa waliohudhuria mazishi ya Wilson Kabwe aliyekua mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam aliyefariki siku chache baada ya kusimamishwa kazi na Rais Magufuli ili kupisha uchunguzi kwa tuhuma zilizomkabili.
    Kwenye maziko ya Marehemu Kabwe yaliyofanyika kata ya Mamba Mpinji wilayani Same Kilimanjaro viongozi mbalimbali wa serikali walihudhuria akiwemo mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadick, kulikua na Mwakilishi wa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam pia Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene aliyemuwakilisha Rais Magufuli.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: AUDIO: Alichosema Ole-Sendeka kwenye mazishi ya Kabwe na kuhusu kusimamishwa kwake kazi Rating: 5 Reviewed By: Anonymous
    Scroll to Top