https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    KAMPUNI YA MAVAZI YA CHANEL YAONYESHA MAVAZI YAKE JIJINI HAVANA, CUBA


    Kwanza ilikuwa Rais Barack Obama na kisha bendi ya Rolling Stones, sasa ni zamu ya kampuni kubwa ya mavazi duniani ya Chanel kufanya onyesho la mavazi nchini Cuba.

    Mastaa na wapenda fasheni wamefika Cuba kushuhudia kampuni ya Chanel ikionyesha mavazi yake Jijini Havana hii leo.

    Mbunifu Mkuu Karl Lagerfeld amesema mavazi yote yaliyoonyeshwa yameshonwa kutokana na hisia za kitamaduni.
             Wanamitindo wakionyesha mavazi yaliyobuniwa na Chanel Jijini Havana
                     Wanamitindo wakicheza huku wakiwa wamevalia mavazi ya Chanel 
    Muigizaji filamu nyota Vin Diesel akionyesha ishara ya upendo kwa Cuba wakati wa onyesho hilola mavazi ya Chanel
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KAMPUNI YA MAVAZI YA CHANEL YAONYESHA MAVAZI YAKE JIJINI HAVANA, CUBA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top