From @diamondplatnumz - Shukran
sana sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam @PaulMakonda kwa kututembelea
katika Office zetu za @Wcb_Wasafi jana usiku.... ujio wako Umetutia
nguvu na Moyo mkubwa katika ufanisi wa kazi zetu.... Hakika wewe ni
kiongozi wa pekee....Tunashkuru kwa Ushauri, muongozo wako mzuri na Muda
wako wa thamani ulioupendekeza kwetu Jana!... ijapokuwa kaofisi ketu
ndio kanaanza ila naamini uliona tunavyo hakikisha kudhibiti na
kuzingatia USAFI Kuanzia Ofisini hadi Maeneo yatuzungukayo kama Mh Rais
John Pombe na wewe Mlivyoagiza
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments:
Post a Comment