Bi Clinton alitangaza uteuzi huo kupitia akaunti yake ya Twitter akimtaja mgombea mwenza huyo kuwa ni mfuasi mkubwa wa makubaliano huru ya biashara na anatarajia kumtambulisha rasmi leo katika mkutano wa hadhara huko Miami.
Kaine ambaye anaongea kihispania vizuri anatarajia kuwavutia wapiga kura wamarekani wenye asili ya Uhispania kundi ambalo ni kubwa katika chaguzi za Marekani.
0 comments:
Post a Comment