https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MVUA YASABABISHA MCHEZO WA MAN U NA MAN CITY KUHAIRISHWA BEIJING


    Mchezo wa kujiandaa na msimu mpya baina wapinzani wa jadi Manchester United na Manchester City nchini China umehairishwa kutokana na uwanja kuwa katika hali mbaya.

    Dimba katika uwanja wa Kiota cha Ndege Jijini Beijing, limeelezewa kuwa ni baya na kocha wa United Jose Mourinho, baada ya kuathiriwa na mvua kubwa.

    Na kabla ya mchezo huo kuhairishwa, Kocha wa City Pep Guardiola alisema anatumaini wachezaji watajaribu kuepuka kupata majeraha.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MVUA YASABABISHA MCHEZO WA MAN U NA MAN CITY KUHAIRISHWA BEIJING Rating: 5 Reviewed By: news
    Scroll to Top