https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MTIBWA SUGAR YAREJEA KILELENI, YAFUNGANA NA AZAM, JKT

    Kikosi cha Mtibwa Sugar kimerejea kileleni kikiwa na pointi 17 ikiwa ni baada ya sare ya leo.


    Mtibwa imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Ruvu JKT katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar.

    Sare hiyo inaifanya iringane pointi 17 sawa na Azam FC na Ruvu JKT.

    Vijana hao wa Mecky Maxime wanakaa kileleni kutokana na kuwa na wastani mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa.
    Credit: Salahejembe.com
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MTIBWA SUGAR YAREJEA KILELENI, YAFUNGANA NA AZAM, JKT Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top