https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MAJI YA CHEMBA YA UCHAFU YAZAGAA SOKONI MANZESE

    Maji taka yakitiririka kutoka kwenye chemba.

    Eneo lililofikwa na maji hayo machafu.
    KUTOZINGATIWA kwa udhabiti wa mitaro jijini ni moja ya njia zinazozidisha uchafu jijini Dar es Salaam. Mfano mmojawapo ni chemba ya maji taka  ambayo imekuwa ikisambaza uchafu eneo la soko la Mazense, jijini Dar es Salaam, kwa kutoa maji machafu na yenye harufu kali hivyo kuwa kero kwa watu wanaotumia eneo hilo.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAJI YA CHEMBA YA UCHAFU YAZAGAA SOKONI MANZESE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top