https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Maneno mazito aliyoyasema Mh.BARUAN MBUNGE WA Lindi mjini kumhusu Mh Zitto Kabwe...



    Mh.BARUAN MBUNGE WA LINDI MJINI.....CUF.....AMESEMA HAYA LEO
    Zitto alitakiwa asiende chama chochote kwa sasa mana kwenda ACT kama alivyofanya ni kuthibitisha kuwa tuhuma alizopewa na chadema ni za kweli kuwa ni msaliti na ameanzisha chama ndani ya chama na mimi nahisi zitto anatumika na ccm kupunguza nguvu ya ukawa. Kwa upande wangu sina imani tena na zitto namuona kama maji kwenye moto uliowashwa kumuangamiza nyoka anayetesa na kutafuna vijusi vidogo visivyo na hatia. Kwa maamuzi haya zitto tunamsahau kwenye tasnia ya siasa. Siasa ni chupa ya chai ikikutoka kidogo tu imekukosa!
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Maneno mazito aliyoyasema Mh.BARUAN MBUNGE WA Lindi mjini kumhusu Mh Zitto Kabwe... Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top