https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    MEGATRADE INVESTIMENT LTD YAVIPIGA JEKI VILABU VYA DARAJA LA NNE WILAYA YA HAI.

    Wafanyakazi wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini Arusha wakiwa na viongozi wa Chama cha soka wilaya ya Hai kwa ajili ya kukabidhi msaada wa vifaa vya michezo vilivyotolewa kwa vilabu 10 vinavyoshiriki ligi daraja la nne ngazi ya wilaya .
    Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd ,kanda ya Kaskazini,Edmund Rutaraka akikabidhi jezi kwa Katibu wa Chama cha soka wilaya ya Hai(HAIDAFA) Cuthbert Mushi huku zoezi hilo likishuhudiwa na wajumbe wa kamati ya utendaji ya chama hicho Fauzia Lema na Marry Munuo(Mwenye kofia) wengine ni wawakilishi wa mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment kwa mkoa wa Kilimanjaro,Loserian  Laiser na Filbert Furaha.
    Baadhi ya vifaa vya michezo vyenye thamani ya kiasi cha shilingini Milioni 5 vilivyotolewa na kampuni ya Megatrade Investment ya Jijini Arusha kwa ajili ya vilabu 10 vinavyoshiriki ligi daraja la nne ngazi ya wilaya ya Hai.

    Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya Kaskazini.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MEGATRADE INVESTIMENT LTD YAVIPIGA JEKI VILABU VYA DARAJA LA NNE WILAYA YA HAI. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top