https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    TASWIRA FLANI ADIMU KANDA YA ZIWA



    Tumezoea kuona majengo kama haya yakiwa na majina ya Kanji Bah, Karimjee na mengine mengi ya watu wa bara la Asia na Uropa lakini mkoani Kagera hatariiiii, soma bango hapo juu 'Tarehe 21 March 1962, Patrick Kalinjuna
    Duka Bahaya Munyerege' na hapa ni Bukoba vijijini. ''''Dadadeki'
    Muonekano kamili.
    Mlima wa ndizi.
    Mh. Malecela...saluti kwako.
    Soko la Kirumba Mwaloni jijini Mwanza.
    Kando kando ya ziwa Victoria jijini Mwanza
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TASWIRA FLANI ADIMU KANDA YA ZIWA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top