https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Chadema yajiimarisha yaendesha mikutano ya mafunzo Singida


     DSC05413
    Mkurugenzi wa organization na mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye uwanja wa
    Peoples mjini Singida  ukiwa na lengo na kuzindua mafunzo yanayoendelea kutolewa nchini kote na chama hicho, kujiimarisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.
    DSC05411
    DSC05401
    Baadhi ya wanaCHADEMA na wananchi wa mji wa Singida, waliophudhuria mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kumsikiliza mkurugenzi wa organization na mafunzo wa CHADEMA Taifa, Benson Kigaila (hayupo kwenye picha) kwenye viwanja vya Peoples mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu). 
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Chadema yajiimarisha yaendesha mikutano ya mafunzo Singida Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top