https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    SAMSUNG TANZANIA YAFUNGUA DUKA MBEYA‏


    Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Tanzania  Hy zong Sun Seo, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka la Samsung mkoani Mbeya ambalo litatumika pia kama kituo cha huduma za wateja katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Mbeya,wanaoshuhudia ni  wafanyakazi wa kampuni hiyo.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Tanzania  Hy zong Sun Seo, akiongea na waandishi wa habari waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa duka la Samsung mkoani Mbeya ambalo litatumika pia kama kituo cha huduma za wateja katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Mbeya,wanaoshuhudia ni  wafanyakazi wa kampuni hiyo.
    Baadhi ya wafanyakazi wa duka jipya la Samsung mkoani Mbeya katika picha ya pamoja wakati wa hafla ya uzinduzi wa duka hilo ambalo pia litatumika kama kituo cha huduma za wateja mkoani humo.
    Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Tanzania Hy zong Sun Seo akihutubia wafanyakazi na wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya  uzinduzi wa duka la Samsung mkoani Mbeya ambalo litatumika pia kama kituo cha huduma za wateja katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Mbeya,wanaoshuhudia ni  wafanyakazi wa kampuni hiyo
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SAMSUNG TANZANIA YAFUNGUA DUKA MBEYA‏ Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top