https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    JARIBU KULA HIVI KWA MIEZI ANGALAU 3 MFULULIZO TUONE KAMA HUTAPUNGUA


    Mchana badala ya kujishindilia ugali au chips
    Unaweza kusaga mchanganyiko wa matunda unayo ya pendant,  bila kuongeza maji
    Yanatoka mazito kama mtoni,  ukinywa glass 2 tu hutasikia hamu ya kula chochote kile kwa jinsi tumbo litakavyokuwa limejaa

     
    Jioni badala ya kula wali na maharage,  unachukua mboga mboga unazi blend ukichanganya na tunda lolote tamu,  apple ama nanasi,
    mboga unazoweza kutumia ni zozote zile za kijani.
    Iwe,  mchicha,  spinach n.k


    Unavisaga kwenye machine mpaka vinakuwa ujinga
    Ili Kupata juice nzuri unaichuja Ili kuondoa makapi
    baada ya hapo ni kunywa maji mengi tu, huna haja ya kula chakula kingine chochote kile
    sababu hicho chenyewe ni chakula tosha

    Ukishindwa kabisa kuzuia hamu ya kula
    jisaidie kidogo kwa supu ya kuku au samaki
    ambayo haijawekwa vitu vingi zaidi ya chumvi na limao au ndimu.
    Fuatisha utaratibu huu kwa muda wa miezi 3
    Uone matokeo yake
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: JARIBU KULA HIVI KWA MIEZI ANGALAU 3 MFULULIZO TUONE KAMA HUTAPUNGUA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top