TETEMEKO
la ardhi limetokea nchini Nepal jana na na kupoteza maisha ya watu ya
900 na kuangusha Mnara wa Karne ya 19 Mjini, Kathmandu pamoja na
kusababisha maporomoko ya theluji kutoka katika milima.
Taarifa
zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo
lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji
wa pili kwa ukubwa nchini Nepal.
Tetetemeko
hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi
cha miaka 81 na pia limesababisha athari katika majimbo ya nchi jirani
kaskazini mwa India na Bangladesh.
Kunauwezekano vifo hivyo vinaweza kuongezeka katika Bonde la Kathmandu ambalo lina watu milioni 2.5.
Naibu
balozi wa Nepal mjini New Delhi Prasad Pandey amesema inahofiwa kuwa
mamia ya watu wamekufa na kuna ripoti ya kuwepo kwa uharibifu mkubwa
kila sehemu kubwa na kwamba sio tu katika baadhi ya maeneo ya Nepal bali
ni nchi nzima imeathirika.
Nepal
ilikumbwa na tetemeko kubwa la ardhi kuwahi kurekodiwa nchini humo hapo
mwaka 1934 likiwa na kipimo cha 8.0 ambapo watu 8,500 walipoteza maisha
yao.

Baadhi
ya Waokoaji wakiwa wamsaidia mmoja wa waathirika wa Tetemoko hilo
aliekuwa amefukiwa kwenye kifusi ya moja ya majembo yaliyoporokoma
kutokana na tetemeoko hilo.

Sehemu ya athari za tetemeko hilo.

Jitihada za kuokoa waliofunikwa na kifusi zikiendelea.

Wananchi wa Nepal wakishirikiana kwa pamoja kuvuta kamba.

Ramani inayoonyesha sehemu iliyokumbwa na tetemeko hilo.
Picha zote kwa hisani ya Mtandao wa Daily Mail
(Reuters) - British consumer price inflation held steady at a record-low
zero percent in March, official figures showed on Tuesday, boosting
households' disposable income before May 7's election.
The Office for National Statistics said consumer prices rose 0.2 percent
between February and March but compared with a year earlier, prices
were unchanged, in line with economists' forecasts.
The ONS added that if the price change was calculated to two decimal
places, however, prices were 0.01 percent lower than a year before,
which would be first fall on record in consumer price inflation on that
measure.
Inflation has not been this weak since at least 1989, when comparable
data began. The ONS said that a rough estimate based on other figures
suggested inflation was the weakest since isolated price falls in 1959
and 1960.
This leaves inflation well below the BoE's 2 percent target and the
headline measure calculated to one decimal point is expected to dip
below zero. But for now few economists think Britain is at risk of the
Japanese-style entrenched price falls that have threatened the euro
zone.


