https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Zaidi ya Watu 1800 Wadaiwa Kupoteza Maisha kwa Tetemeko la Ardhi Nchini Nepal

    TETEMEKO la ardhi limetokea nchini Nepal jana  na na kupoteza maisha ya watu  ya 900 na kuangusha Mnara wa Karne ya 19 Mjini, Kathmandu pamoja na kusababisha maporomoko ya theluji kutoka katika milima. 

    Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini Nepal. 

    Tetetemeko hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi cha miaka 81 na pia limesababisha athari katika majimbo ya nchi jirani kaskazini mwa India na Bangladesh. 

    Kunauwezekano vifo hivyo vinaweza kuongezeka katika Bonde la Kathmandu ambalo lina watu milioni 2.5.

    Naibu balozi wa Nepal mjini New Delhi Prasad Pandey amesema inahofiwa kuwa mamia ya watu wamekufa na kuna ripoti ya kuwepo kwa uharibifu mkubwa kila sehemu kubwa na kwamba sio tu katika baadhi ya maeneo ya Nepal bali ni nchi nzima imeathirika. 

    Nepal ilikumbwa na tetemeko kubwa la ardhi kuwahi kurekodiwa nchini humo hapo mwaka 1934 likiwa na kipimo cha 8.0 ambapo watu 8,500 walipoteza maisha yao.
    Baadhi ya Waokoaji wakiwa wamsaidia mmoja wa waathirika wa Tetemoko hilo aliekuwa amefukiwa kwenye kifusi ya moja ya majembo yaliyoporokoma kutokana na tetemeoko hilo.
    Sehemu ya athari za tetemeko hilo.
    Jitihada za kuokoa waliofunikwa na kifusi zikiendelea.
    Wananchi wa Nepal wakishirikiana kwa pamoja kuvuta kamba. 

    Ramani inayoonyesha sehemu iliyokumbwa na tetemeko hilo.

    Picha zote kwa hisani ya Mtandao wa Daily Mail
    (Reuters) - British consumer price inflation held steady at a record-low zero percent in March, official figures showed on Tuesday, boosting households' disposable income before May 7's election. The Office for National Statistics said consumer prices rose 0.2 percent between February and March but compared with a year earlier, prices were unchanged, in line with economists' forecasts. The ONS added that if the price change was calculated to two decimal places, however, prices were 0.01 percent lower than a year before, which would be first fall on record in consumer price inflation on that measure. Inflation has not been this weak since at least 1989, when comparable data began. The ONS said that a rough estimate based on other figures suggested inflation was the weakest since isolated price falls in 1959 and 1960. This leaves inflation well below the BoE's 2 percent target and the headline measure calculated to one decimal point is expected to dip below zero. But for now few economists think Britain is at risk of the Japanese-style entrenched price falls that have threatened the euro zone.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Zaidi ya Watu 1800 Wadaiwa Kupoteza Maisha kwa Tetemeko la Ardhi Nchini Nepal Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top