Waziri
Mkuu wa zamani na Mbunge wea Monduli, Mh. Edward Lowassa, akitoa hotuba
ya shukrani kwenye makao makuu ya CCM mkoa wa Sin gida, baada ya kupata
wadhamini kufuatia kucvhukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho
kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika
Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa, ameweka rekodi mpya baada ya kupata
wadhamini 22, 758. Tangu aanze kutafuta wadhamini mapema mwezi huu
Waziri
Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia
wana CCM na wakazi wa Manispaa ya Singida, waklati akiondoka makao
makuu ya CCM mkoani Singida, Juni 16, 2015, baada ya kupata wadhamini.
Waziri
Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia
mkono wana CCM na wakazi wa Manispaa ya Singida, waklati akiondoka makao
makuu ya CCM mkoani Singida, Juni 16, 2015, baada ya kupata wadhamini.Picha na K-VISD MEDIA




