https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA

    Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikali, Bi Sarah Reuben (Wapili kushoto) akizungumza na mmoja wa wananchi waliojitokeza kujua kazi zinazofanywa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi. Wengine katika picha ni Wakaguzi, Bibi Tumaini Sorogo (Kushoto) na Bw. Fahdi Masanja (Watatu kushoto).

    Mkaguzi Lenatus Leonard (Katikati) kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi akihojiwa kuhusu ufanisi wa ukaguzi kwa upande wa Serikali za Mitaa na Bw. Pachal Mayala wakati wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2015 yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. 

    PICHA KUTOKA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI, MAKAO MAKUU
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top