https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    Yanga yamchinjia baharini Bahanuzi

    BahanuziKlabu ya Yanga imethibitisha kuvunja mkataba na mshambuliaji wake Said Bahanuzi kutokana na kushuka kwa kiwango chake kwa miaka mitatu mfululizo.

    Katibu mkuu wa Yanga Dkt. Jonas Tiboroha amesema kwamba, Yanga haijaridhishwa na maendeleo ya Bahanuzi aliyekuwa anacheza kwa mkopo katika klabu ya Polisi Morogoro kwa msimu uliopita, hivyo anatolewa kama ilivyotokea kwa Jeryson Tegete na Omega Seme.
    “Bahanuzi ni moja ya wachezaji tuliovunja nao mikataba kwasababu klabu haijaridhishwa  na maendeleo yake  kama ilivyo kwa wachezaji wenzake  akina Omega, Thabit, Jerry Tegete”, zmesema Tiboroha.
    “Mikataba ya Yanga inaangalia kiwango cha mchezaji, kama mchezaji hana kiwango cha kuendelea kucheza Yanga anaachwa, tunavyo vipengele vinavyoeleza wazi”, aliongeza Toboroha.
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: Yanga yamchinjia baharini Bahanuzi Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top