https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania


.

.

.
  • Latest News

    .

    DEPAY ANAUTAKA MFUPA ULIOMSHINDA DI MARIA, ATAUWEZA?

    Depay 1
    Nyota mpya wa Manchester United, Memphis Depay unaweza kusema amefanya maamuzi magumu ya kuvaa viatu vizito.
    Kuelekea msimu ujao wa ligi kuu England unaoanza Jumamosi hii, Depay ameomba kupewa jezi ya heshima Old Trafford, namba 7.
    Di Maria (left) poses with the No 7 shirt last summer upon his £60m arrival to the club from Real Madrid
    Mshambuliaji huyo kinda amejitosa kuchukua jezi hiyo ya maana ambayo iliwahi kuvaliwa na masupastaa wa maana waliowahi kucheza Manchester United wakiwemo George Best, Bryan Robson, Eric Cantona, David Beckham na Cristiano Ronaldo na nyota wa sasa anayeondoka, Angel di Maria.
    Inafahamika kwamba kocha wa United, Louis van Gaal bado hajatoa namba katika kikosi chake.
    The Holland international's (right) request has  been looked favourably upon by United boss Louis van Gaal
    Namba 9 pia iko wazi, lakini Van Gaal amevutiwa na maombi ya Depay kwani inaonesha jinsi gani Mholanzi huyo anajiamini.
    Depay
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.blog.ya.watanzania

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: DEPAY ANAUTAKA MFUPA ULIOMSHINDA DI MARIA, ATAUWEZA? Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top